MAJINA YA WANAMICHEZO WATAKAOWANIA TUZO ZA (TASWA) YATANGAZWA

MAJINA YA WANAMICHEZO WATAKAOWANIA TUZO ZA (TASWA) YATANGAZWA



Mwenyekiti wa Kamati ya tuzo za Chama cha waandishi wa habari za michezo TASWA Bw. Masod Saanane akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa City Sports Lounge jijini Dar es salaam leo, kulia ni katibu mkuu wa TASWA Amir Mhando
MAJINA YA WALIOTEULIWA KUWANIA TUZO YA WANAMICHEZO BORA MWAKA 2011/MWANAMICHEZO BORA WA TANZANIA MWAKA 2011, ITAKAYOFANYIKA JUNI 14 MWAKA HUU
KIKAPU:
WANAWAKE
DORITHA  MBUNDA :-JKT QUEENS
EVODIA  KAZINJA:-JKT QUEENS
FARAJA MALAKI:-JESHI STARS
WANAUME
ALPHA KISUSI-Vijana 
FILBERT MWAIPUNGU:-ABC
GILBERT BATUNGI:-ABC
NETIBOLI:
LILIAN SYLIDION
 DORITHA MBUNDA
 GOFU
WANAWAKE:
Madina Iddi (Umri miaka 27)
Hawa Wanyeche (Umri miaka 26)
Ayne Magombe (Umri miaka 24)

Post a Comment

أحدث أقدم