RAYMOND MSHANA AMECHUKUA MIKOBA YA B12, MCHOMVU NA DJ FETTY

  Raymond Mshana (25), mzaliwa wa Same, Kilimanjaro. HIVI karibuni, watangazaji nyota waliojizolea umaarufu mkubwa Bongo kupitia Redio Clouds FM, wakitangaza kipindi cha XXL, Hamisi Mandi ‘B12’ na Adam Mchomvu ‘Baba John’  walisimamishwa kazi kituoni hapo kwa muda usiojulikana. Inaelezwa kuwa, hata yule mtangazaji mwenye sauti yenye mvuto wa aina yake Fatuma Hassan ‘Dj Fetty’ naye yupo kifungoni muda mrefu kabla ya akina B12 ingawa taarifa hizo hazijathibitishwa rasmi. Katika mkumbo wa akina B12, mtangazaji mwingine wa Kipindi cha Ala za Roho, Loveness Malinzi 'Diva Loveness Love' naye amesimamishwa. Uamuzi wa kuwasimamisha B12 na Mchomvu ulifikiwa na uongozi...

Post a Comment

Previous Post Next Post