Makundi
mbalimbali ya kijamii ya mikoa ya Kaskazini, inayojumuisha mikoa ya
Kilimanjaro, Tanga, Arusha na Manyara wakiwa wanaandamana kwa pamoja
kuelekea kwa mbunge wa jimbo la monduli
Katibu
wa Chama cha Wasioona Mkoa wa Kilimanjaro (TLB), Protas Soka Akisoma
risala kwa niaba ya makundi hayo mbele ya mbunge wa jimbo la monduli

Post a Comment