Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper”
akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi, aliandika maneno
haya mara baada ya kubandika picha hiyio hapo juu;
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imekaaje?
Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imekaaje?
Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.

Post a Comment