
Wasanii mbali mbali na watangazaji walipata kualikwa ikulu jijini Dar,
kwa ajili ya kuftari na Mh Raisi pamoja na familia yake.mara baada ya
kuftari Mh Kikwete aliongea mawili matatu ikiwa ni pamoja na kuwapa moyo
wasanii kwa kuendeleza sanaa maana hata yeye anapenda kusikiliza miziki
yao

B12

Fetty

Dj Mully B


Jafarai na inspector Haroon

Qchief na Babu Tale



Mwasiti, Fetty na Shilole

Chege, Nyandu Tozi na Madee

Kassim Mganga

Adama Mchomvu

Ben Pol (wa pili kutoka kulia)

Linex (wa kwanza kulia)





Looking good MashAllah, TID, Jafarai na Z Anto


Mzee mkorofi, Suma Lee


hahahaa Mbwiga nae hakukosa

Shekh AY na Ali Kiba

Marlow na Sam Misago


Feruz na Fela

Lamar na P Funk

Quick kama sio yeye loooool






Hemedi Phd

Adama Juma

Dogo Asley


King Crazy GK


Shilole


Post a Comment