Wana-CCM California wanapenda kuwakaribisha katika sherehe
za uzinduzi wa Tawi la CCM-California. Sherehe hizi za
uzinduzi tawi hili utafanya na viongozi wa juu kutoka makao makuu ya
chama - Tanzania.
Mheshimiwa
Mwiguru Nchemba- Katibu msaidizi wa CCM taifa.
Mheshimiwa Rajab
Luhwavi- Msaidizi wa Rais katika masuala ya siasa.
Bila kujali itikadi za kisiasa, tunakukaribisha ukaungane nasi
katika kufurahia furaha yetu hii. Usisite wala kuwa na woga kujumuika na
wana-ccm katika kufurahia pamoja hata kama wewe si
mwana-ccm.
Ninaomba uhakika wako kuja ili tujiweke kwenye mipango mizuri
kwa kujua idadi ya wengi watakaofika.
Tarehe :-
14 Septemba 2013
Anuwani:-
2735 Broadway Oakland, CA 94610
Muda:-
Saa kumi na moja (5pm)
Kwa Maelezo zaidi wasiliana
Erick J Byorwango-Katibu Wa CCM Tawi La California- (510) -520-5995
إرسال تعليق