ROMA AKERWA NA WANAOZIFANANISHA NYIMBO ZAKE NA MAGAZETI AU TAARIFA YA HABARI

 
Mshindi wa tuzo ya msanii bora wa Hiphop mwaka 2011-2012 rhymes of magic attraction Roma, amesema kuwa anakerwa sana na kauli zinazohusisha muziki wake na taarifa za habari au magazeti. 
Roma ana miaka 7 tu kwenye game ya bongo flava huku akiwa na fan base kubwa, wiki iliyopita ameachia ngoma yake ya saba tangu aingie rasmi kwenye game, ngoma inaitwa KKK
Roma huyu hapa anafunguka.

Post a Comment

Previous Post Next Post