SOMA KAULI ZA YANGA, AZAM FC ASUBUHI KABLA YA MECHI YA JIONI UWANJA WA TAIFA!!

Today Vodacom Premier League
Young Africans Sports Club Vs Azam FC
Kick-off: 16:30hrs
Venue: National Stadium
Entrance:
VIP A Tshs 30,000/=
VIP B & C Tshs 20,000/=
Orange, Blue & Green Tshs 7,000/=
"DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO"
Tukutane Uwanja wa Taifa kuipa sapoti yetu

Tukiwa katika robo ya mwisho ya mechi za ligi kuu Tanzania, mechi ya leo ina nafasi kubwa ya kuamua bingwa. Azam FC ambayo hadi sasa haijapoteza mchezo hata mmoja tunajiamini kuwa tuna nafasi kubwa ya kushinda kutokana na maandalizi kabambe na viwango vya wachezaji wetu. Mashabiki wetu tunawaomba mjitokeze kwa wingi leo mkiwa vifua mbele kuishangilia timu yenu. Azam FC .... Tucheze pamoja kwa furaha

Post a Comment

Previous Post Next Post