Mapenzi bhana! Baada ya kutoka kimalavu na kumwagana na mwanadada mwenye
mvuto Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kisha kuangukia
kwenye ‘utamu’ wa penzi la mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan
a.k.a Zari au The Boss Lady, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameamua
kuanika siri tano za kilichomvutia kwa staa huyo gumzo Afrika Mashariki.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady.
Akizungumza katika mahojiano maalum katika ofisi za gazeti hili, Bamaga-Mwenge jijini Dar hivi karibuni, bila kupepesa macho au kuuma maneno baada ya kuulizwa kinagaubaga juu ya ukaribu wake na Zari, Diamond au Dangote hakutaka kuficha, akaamua kuweka mambo yote hadharani.
BOFYA HAPA KUJUA KILA KITU
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na mwanamama anayekimbiza Uganda, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady.
Akizungumza katika mahojiano maalum katika ofisi za gazeti hili, Bamaga-Mwenge jijini Dar hivi karibuni, bila kupepesa macho au kuuma maneno baada ya kuulizwa kinagaubaga juu ya ukaribu wake na Zari, Diamond au Dangote hakutaka kuficha, akaamua kuweka mambo yote hadharani.
BOFYA HAPA KUJUA KILA KITU
Post a Comment