
Afisa Uhusiano mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi,
(Kushoto), akipena mikono na Ummy Shaaban, mwanafunzi wa darasa la sita
shule ya msingi Buyuni II, iliyoko Chanika, wilaya ya Ilala jijini Dar
es Salaam,wakati akikabidhi msada wa madawati kwa ajili ya shule hiyo
mwishoni mwa wiki. (Katikati ni mwalimu mkuu wa shule hiyo, Rogather
Palla.

Afisa Uhusiano mwandamizi wa PSPF, Abdul Njaidi, akiwaelimisha wanafunzi
hawa wa shule hiyo, kuhusu huduma mbalimbali zitolwewazo na Mfuko huo
Wanafunzi wakishangili msada huo wa madawati

Baadhi ya Wanafunzi wakishangilia mara baada ya kukabidhiwa madawati hayo

Afisa
Uhusiano mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Njaidi, (Kushoto),
akitoa elimu kupitia vipeperushi kwa baadhi ya walimu wa shule hiyo.

Wanafunzi wakibeba dawati kupeleka darasani.

Baadhi ya wanafunzi wakiwa wameketi kwenye madawati hayo.
Post a Comment