KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA WATAALAMU WA MAABARA ZA AFYA TANZANIA
Mkurugenzi Msaidizi wa Tiba Magonjwa yasiyoambukiza wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Ayub Mgimba akihutubia wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Wataalamu wa Maabara za Afya Tanzania, leo kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salam.
Baadhi ya wageni waalijkwa wakipungia kukaribisha maandamano wakati wa kilele hicho
Viongozi walokuwa meza Kuu wakikaribisha maandamano
Maandamano aykielekea viwanja vya Mnazi Mmoja
Brass Band ya Polis ikiongoza maandamano hayo, yaliyoanzia Amana Hospitali kwenda viwanja vya Mnazi Mmoja
Mtoto muuza mayai akiungana katika maandamano hayo
Mgeni rasmi, Dk. Mgimba (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa cha hicho
Baadhi ya wageni waalijkwa wakipungia kukaribisha maandamano wakati wa kilele hicho
Viongozi walokuwa meza Kuu wakikaribisha maandamano
Maandamano aykielekea viwanja vya Mnazi Mmoja
Brass Band ya Polis ikiongoza maandamano hayo, yaliyoanzia Amana Hospitali kwenda viwanja vya Mnazi Mmoja
Mtoto muuza mayai akiungana katika maandamano hayo
Mgeni rasmi, Dk. Mgimba (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa cha hicho
Post a Comment