KOCHA MPYA LIVERPOOL - AMRITHI KENNY DALGLISH
Rodgers akiwa na Kenny Dalglish |
Utafutaji
wa kocha wa Liverpool hatimaye umefikia tamati baada ya Brendan Rodgers
kukubali kujiunga the Merseyside club kwa mkataba wa miaka mitatu
kuiongoza klabu hiyo ya Anfield.
Rodgers
atatangazwa rasmi kumrithi Kenny Dalglish ndani ya masaa 24 yajayo
baada ya kumpa taarifa mwenyekiti wa Swansea Huw Jenkins kwamba anataka
kuhamia Anfield.
Na
moja ya kitendo cha kwanza anachoweza kukifanya ni kumsaini Gylfi
Sigurdsson, ambaye bado hajafanyiwa vipimo vya na afya na Swansea ili
kukamilisha uhamisho wake wa £8 million kutoka Hoffenheim.
Liverpool itabidi wailipe fidia inayokadiriwa kufikia £5million ili kuweza kumpata Rogders.
Rodgers
aliongea na maofisa wa Anfield jana jumatano, akiwemo mwenyekiti Tom
Werner, baada ya Swansea kuwapa ruhusa ya kuongea na kocha huyo juzi
jumanne - na bado ya mkutano huyo Rodgers alienda Wales kumwambia
Jenkins kwamba ataondoka Liberty Stadium kuelekea Anfield.
Post a Comment