RAIS JAKAYA KIKWETE AMPOKEA RAIS ALLASANE OUTTARA WA IVORY COAST JIJINI ARUSHA
Hisia0
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Allasane Outtara wa Ivory
Coast wakati akimpokea katika uwanja wa ndege wa Kilimanjaro, Rais
Outtara ni mmoja wa wageni mashuhuri wanaohudhuria mkutano wa AFBD
unaoendelea mjini Arusha.
Post a Comment