WAREMBO MISS DAR INTERCOLLEGE WAJIFUA VILIVYO LAMADA HOTEL
Washiriki wa shindano la kumtafuta Malkia wa Miss Dar Intercollege
wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mazoezi yao yanayofanyika kwenye
hoteli ya Lamada iliyoko Ilala jijini Dar es salaam jana jioni, warembo
hao kila mmoja kwa wakati wame wamejitapa kufanya vizuri katika
shindano hilo na kuibuka na ushindi.
Mwalimu wa warembo mwanaoshiriki katika shindano la Miss Dar Inter
College Mrarylydia Bonoface akiwaelekeza jambo wakati wa mazoezi yao
jana yanayofanyika kwenye hoteli ya Lamada Ilala jijini Dar es salaam.
Mratibu wa shindano hilo Dina Ismail na mmiliki wa blogu ya www.mamapipiro.blogspot.com
akieleza jambo wakati wa mazoezi hayo, na kuwaasa warembo hao kuwa na
nidhamu katika mazoezi jambo ambalo litawafanya kuzingatia mambo muhimu
watakayoelekezwa na mwalimu wao



Post a Comment