STARS YATOLEWA KWA MATUTA

TIMU ya
soka ya taifa ya Tanzania imetolewa katika kinyang'anyiro cha kuwania
tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani Afrika
Kusini, baada ya kufungwa kwa penalti 7-6 kufuatia sare ya 1-1.
Timu zilipokwenda kwenye mikwaju ya penalti, Stars ilifungwa 7-6. Mechi ya kwanza timu hizo zilitoka 1-1 pia. Katika mchezo huo, Msumbiji walitangulia kupata bao na katika dakika za majeruhi Aggrey Morris akaisawazishia Stars.
Timu zilipokwenda kwenye mikwaju ya penalti, Stars ilifungwa 7-6. Mechi ya kwanza timu hizo zilitoka 1-1 pia. Katika mchezo huo, Msumbiji walitangulia kupata bao na katika dakika za majeruhi Aggrey Morris akaisawazishia Stars.
Post a Comment