Andre Villas-Boas ameingia kwenye vita na Sir Alex Ferguson

Bridge spent five months on loan at Sunderland
KLABU ya Tottenham inapiga mishemishe za kumrejesha katika Ligi Kuu ya England kiungo wa zamani wa Chelsea, Arsenal na Portsmouth, Lassana Diarra, mwenye umri wa miaka 27, baada ya kuambiwa anaweza kuondoka Real Madrid
  Pia
 
 KOCHA wa Tottenham, Andre Villas-Boas ameingia kwenye vita na Sir Alex Ferguson wa Manchester United kwa sababu ya beki Ezekiel Fryers, mwenye umri wa miaka 19, ambaye anajiandaa kusaini Spurs.

Post a Comment

Previous Post Next Post