KLABU ya Tottenham inapiga mishemishe za kumrejesha katika Ligi
Kuu ya England kiungo wa zamani wa Chelsea, Arsenal na Portsmouth,
Lassana Diarra, mwenye umri wa miaka 27, baada ya kuambiwa anaweza
kuondoka Real Madrid
Pia
KOCHA wa Tottenham, Andre Villas-Boas ameingia kwenye vita na
Sir Alex Ferguson wa Manchester United kwa sababu ya beki Ezekiel
Fryers, mwenye umri wa miaka 19, ambaye anajiandaa kusaini Spurs.
Post a Comment