DOKTA SLAA AJISALIMISHA MIKONONI MWA POLISI!!
alipowasili makao makuu ya polisi jijini Dar Es Salaam kutii amri ya kutoa uthibitisho wa kauli alizozitoa siku kadhaa zilizopita juu ya Njama za usalama wa taifa kutaka kuwaangamiza viongozi hao amri ambayo hapo mwanzo Dokta aligoma kwa kile alichodai kuwa hana imani na jeshi la polisi nchini.
Picha juu ni Dokta slaa akisalimiana na baadhi ya wafuasi wa Chadema
waliofika makao makuu kujua kinachoendelea, Pembeni yake ni aliyekuwa
Mbunge wa Arusha mjini Ndugu Godbless Lema.
Post a Comment