RAIS DK SHEIN AWAONGOZA AWAONGOZI VIONGOZI NA WANANCHI KATIKA DUA YA HITMA KUWAOMBEA WALIOKUFA KWA AJALI YA MELI

RAIS DK SHEIN AWAONGOZA AWAONGOZI VIONGOZI NA WANANCHI KATIKA DUA YA HITMA KUWAOMBEA WALIOKUFA KWA AJALI YA MELI

 Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(wa tano kushoto) pamja na
Viongozi wengine wa Serikali wakiungana na Waislamu   katika Swala ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya
Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam
kuelekea Zanzibar,swala hiyo ikiongozwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi,katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
  Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(wa tano kushoto) pamja na
Viongozi wengine wa Serikali wakiungana na Waislamu   katika Swala ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya
Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam
kuelekea Zanzibar,swala hiyo ikiongozwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi,katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati) pamja na Viongozi wengine wa
Serikali wakiungana na Waislamu   katika Hitma ya  kuwaombea Dua
Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya Kampuni ya
Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam kuelekea
Zanzibar, katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar leo.[Picha na
Ramadhan Othman Ikulu.]
 Baadhi ya Waislamu  waliohudhuria katika  Hitma ya
kuwaombea Dua Abiria waliofariki katika Ajali ya Meli Mv Skagit ya
Kampuni ya Seagul,iliyozama hivikaribuni ikitokea Dar es Salaam
kuelekea Zanzibar, katika Msikiti wa Mwembeshauri Mjini Zanzibar
leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

Post a Comment

Previous Post Next Post