Usajili wa magari kwa kutumia majina Binafsi waanza TRA

Usajili wa magari kwa kutumia majina Binafsi waanza TRA

 Kuanzia mwaka mpya wa fedha (2012-2013) Mamlaka ya Mapato Tanzania imeanza kusajili magari kwa kutumia majina ikiwa ni nyongeza ya kutumia namba kama ilivyokuwa imezoeleka na wengi. Pichani juu na chini ni gari la kwanza kupewa usajili huo wa kutumia jina la mmiliki wake.

Picha na Blog ya  http://wotepamoja.com

Post a Comment

Previous Post Next Post