VAN PERSIE KWENDA NA ARSENAL BEIJING

MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Robin van Persie anatarajiwa kujumuika kwenya kikosi cha timu yake katika ziara ya kujiandaa na msimu mpya bara la Asia, Beijing Jumamosi ijayo, iwapo Manchester City, au Juventus hawatafanikiwa kukamilisha uhamisho wake mapema.
MCHEZAJI mpya wa Arsenal, Lukas Podolski amemtaka mshambuliaji Robin van Persie, ambaye amesema hatasaini mkataba mpya wakati huu wa sasa unamalizika mwishoni mwa msimu ujao, kubaki katika klabu hiyo

Post a Comment

Previous Post Next Post