Wanachama wa CCM kata ya Kivukoni wafanya uchaguzi

Wanachama wa CCM kata ya Kivukoni wafanya uchaguzi

 Wanachama wa ccm kata ya Kivukoni wamefanya uchaguzi wa viongozi wote wa kata ambao wataendelea na uongozi wa kata hiyo kwa mujibu wa utaratibu wa chaguzi zao zilivyo.
Uongozi wa zamani wakipunga mkono wa kwaheri na kuwakaribisha watakaochaguliwa,wakiwa katika ukumbi wa marimjee julai 07/2012. picha na www.habarimpasuko.blogspot.com

 Aliyekuwa mwenyekiti wa ccm kata ya Kivukoni jijini Dar Es Salaam ndg.Egnas Augustine wakati akinadi sera zake.picha na www.habarimpasuko.blogspot.com

Hawa ni wajumbe waliohudhuria uchaguzi huo jana julai 07/2012, picha na www.habarimpasuko.blogspot.com

Post a Comment

Previous Post Next Post