HEPI 'BIRTHDATE' MWANA LIBENEKE MICHUZI

Leo Ankal anatimiza miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwake, HISIA ZA MWANANCHI BLOG inamtakia kila lakheri yeye na Familia yake. Mungu amjalie Hekima na Busara zaidi katika maisha yake yote na amzidishie miaka mingine teele,azidi kumpa afya njema,na kubwa zaidi azidi kuzibariki kazi za mikono yake daima.Ankal happy besdei tu you,ingawaje umetubania kitu cha keki pale kati.

Post a Comment

Previous Post Next Post