NATAKA KUONDOKA, RONALDO AMWAMBIA RAIS REAL MADRID

Is that it? Ronaldo failed to show much enthusiasm as he bagged two goals in the game

CRISTIANO Ronaldo amemweleza rais wa Real Madrid, Florentino Perez kwamba anataka KUONDOKA, imebainishwa.


Radio Cadena COPE imesema Ronaldo alikutana na Florentino Jumamoso usiku na kumfahamisha kwamba hana furaha na anataka kuuzwa.
Cheer up! Cristiano Ronaldo has said he is 'unhappy' with the current situation at Real Madrid
Jana, licha ya kufunga mara mbili katika ushindi wa 3-0 didi ya Granada, Ronaldo alichafua sherehe kwa kutangaza kwamba "hakuwa na furaha" na kwamba jambo hilo linatokana na matatizo katika weledi wa kazi yake - na si maisha yake binafsi.
Ouch! Ronaldo was substituted in Sunday's 3-0 win over Granada at the Bernabeu
Ilidaiwa kwamba straika huyo wa zamani wa Manchester United ametofautiana na nyota wengi wa klabu hiyo katika chumba cha kuvalia, wakiwamo Marcelo na Fabio Coentrao.
Unhappy chappy: Ronaldo said he was 'sad' but refused to elaborate on the reasons why
Hata hivyo, imedaiwa pia kwamba Ronaldo anaona kwamba anahitaji mwanzo mpya kufikia malengo yake na kwamba alifadhaishwa na tukio la kutoswa na UEFA kwa kumtaja kiungo wa Barcelona, Andres Iniesta, kuwa Mwanasoka Bora wa Mwaka wa UEFA.

Post a Comment

Previous Post Next Post