Rais
wa Zanzibar Dk ali Mohamed Shein akitoa hotuba katika hafla ya
kuchangia mfuko wa watu wenye ulemavu iliofanyika leo katika hoteli ya
Zanzibar Beach Ressort.
Waziri
wa Biashara Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui akitoa hotuba na
maelezo kuhusu mfuko wa watu wenye ulemavu,katika hafla ya kuchangia
mfuko huo iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akimkabidhi Naibu Waziri wa Elimu na
Mafunzo ya Amali Zahra Ali Hamad picha ya Rais wa kwanza wa Zanzibar
Abeid Aman Karume iliochorwa kwa Mkono na ambayo imeuzwa shiling
1,200,000 katika hafla ya kuchangia mfuko wa watu wenye ulemavu
iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akipeana mikono na Afisa Uhusiano
Mwandamizi wa NSSF Theopista Muheta aliempelekea Chek ya
Shiling10,000,000.katika hafla ya kuchangia mfuko wa watu wenye ulemavu
iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.
Baadhi
ya wadau mbalimbali wakipunga mikono kama ishara ya kupiga makofi
kuwapongeza Watu wenye Ulemavu katika hafla ya kuchangia mfuko wa watu
wenye ulemavu iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.
Kikundi
cha Ngoma kutoka Chama cha Viziwi (CHAVIZA)wakitumbuiza katika kwea
kucheza ngoma ya Chanzo katika hafla ya kuchangia mfuko wa watu wenye
ulemavu iliofanyika Zanzibar Beach Ressort.
Rais
wa Zanzibar Dk,Ali Mohamed Shein (wakatikati) akipunga mkono kama
ishara ya kupiga mako0fi kwa lugha ya Walemavu Viziwi katika hafla ya
kuchangia mfuko wa watu wenye ulemavu iliofanyika Zanzibar Beach
Ressort.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR
Post a Comment