HUYU NDIO ALIYEACHIWA MIKOBA NA KANUMBA LEO NA HII NI KAZI YAKE YA KWANZA

hii ni filamu mpya toka kampuni ya Kanumba  inayokwenda kwa jina la malaika iliyotungwa na seth kwa kushirikiana na Rose ndauka na kuongozwa na Zakayo Magullu.
Muda si mrefu itakuwa sokoni, tafadhali kaa mkao wa kuburudika

Post a Comment

Previous Post Next Post