Wenzetu Wakenya wameamua kuzipiga marufuku Simu za mchina nchini mwao
kuanzia kesho...Wale wote wenye Simu fake kuanzia kesho hawata pata
Network kwenye Simu zao hivyo kuwa Useless...Je Tanzania Ina Mpango huo ?
Kesho ndio Siku ya mwisho kwa Wakenya kutumia Simu Fake a.k.a Simu za Mchina
Hisia
0
Post a Comment