TIGO YATOA MSAADA WA MADAWATI 680 KWA SHULE 17 MKOANI NJOMBE

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ruhuji, wakishangilia kwa furaha baada ya Kampuni ya Tigo na Taasisi ya Hassan Maajar Trust kukabidhi  msaada wa madawati 680 yenye thamani ya sh. mili. 26 kwa ajili ya shule 17 mkoani Njombe. Hafla hiyo ilifanyika katika shule hiyo mwishoni mwa wiki.

Post a Comment

Previous Post Next Post