YANGA B 'WAITILIA UBANI' YANGA A TAIFA, WAPIGA MTU SITA


Abdulrahman Ally kulia akienda kuutoa mpira nyavuni baada ya George banda kushoto kufunga bao la sita
Yanga B imeifunga TMK United ya Ligi Daraja la Pili, mabao 6-1 katika mchezo wa utangulizi kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kati ya Yanga na Polisi Morogoro. Mabao ya Yanga yamefungwa na Georgeb Banda matatu katika dakika za 61, 70 na 72, Hussein Moshi dakika ya 12 na Rehani Rehani dakika ya 19 na 27, wakati la kufutia machozi la TMK United, lilifungwa na Abdi Hashimu dakika ya 62. Tazama picha za mechi.
Kikosi cha Yanga B

George Banda kulia anawafunga tela mabeki wa TMK United 

Mchezaji wa yanga B akimtoka beki wa TMK

Kocha Mkuu wa Yanga B, Salvatory Edward kulia akiwa na Msaidizi wake Abubakar Salum

Wachezaji wa Yanga A, Mbuyu Twite, Haruna Niyonzjma, Ally Bart6hez na Nadir cannavaro wakishuhudia wadogo zao wanavyotoa adhabu
Chanzo:- Bin Zubeiry
Okwi wa Yanga akivaa jezi kuingia dakika 10 za mwisho

Post a Comment

Previous Post Next Post