"Msichana mmoja anashikiliwa na polisi kwa kumjeruhi Boyfriend wake
kwa kumwagia Acid baada ya mwanamke huyo kukuta message za mapenzi
zilizokuwa zinatumwa na wanawake wengine katika simu ya Boyfriend wake,
mwanamke huyo aligundua ujumbe wa maandishi uliokuwa unaonyesha kwamba
Boyfriend wake huyo alikuwa akitoka kimpenzi na msichana mwingine.
AMWAGIWA TINDIKALI SEHEMU ZA SIRI NA GIRLFRIEND WAKE KISA WIVU WA MAPENZI
Hisia
0
Tags
ENTERTAINMENT
Post a Comment