
Ni moja kati ya watu wenye umaarufu fulani hapa Tzee
kwa kupitia kazi za wasanii mbalimbali katika media au pale mtu
anapokuwa na kazi yake basi lazima ukutane na huyu mtu hata support kazi
yako kwa kupitia blog yake sasa
Latest info ambayo tumeipata leo asubuhi kutoka katika ukurasa wake wa facebook ni kwamba ameamua kuweka wazi juu ya tatoo yake ebu kisome alichokia sasa hivi kupitia katika ukurasa wake na kuwaelewesha mashabiki wake kuhusu yeye na Professor Jay.
Latest info ambayo tumeipata leo asubuhi kutoka katika ukurasa wake wa facebook ni kwamba ameamua kuweka wazi juu ya tatoo yake ebu kisome alichokia sasa hivi kupitia katika ukurasa wake na kuwaelewesha mashabiki wake kuhusu yeye na Professor Jay.

Post a Comment