Msanii wa muziki wa kizazi kipya na tasnia ya filamu nchini Hussein
Ramadhani ''Sharo Milionea''alizikwa jana kijijini kwao lusanga Kilichopo
wilayani Muheza na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji wakiwemo
viongozi wa serikali na wasanii mbali mbali nchini.
Post a Comment