HAWA NDIO WALIOZIMIA WAKATI WA MAZIKO YA SHARO MILIONEA






Msanii wa muziki wa kizazi kipya na tasnia ya filamu nchini Hussein Ramadhani ''Sharo Milionea''alizikwa jana kijijini kwao lusanga Kilichopo wilayani Muheza na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji wakiwemo viongozi wa serikali na wasanii mbali mbali nchini.

Post a Comment

Previous Post Next Post