jamani mvuto nao ni chachu katika mapenzi,,muhimu kujipenda,kuwa msafi na kuwa mbunifu wakati wote

mtazame mrembo huyu Britney spears,,,for sure this pic inamvuto sana and i think hakuna mtu asiyependa kuwa na mvuto muhimu ni kujipenda na sio kujibweteka ili kuongeza chachu katika mapenzi ........
wanawake walio wengi wanapenda kupendeza na kuvutia,,wengine wanafanya hivyo kutokana na kupenda mwenyewe,lakini wengine wanafanya hivyo kwasababu fulani,,kuna mwingine atapenda kupendeza ili mume au mpenzi wake afurahi,ila muhimu ukawa unapenda kwanza wewe mwenyewe vinginevyo siku nyingine unaweza ukachemka kutokana na kwamba ni kitu ambacho haukipendi kutoka moyoni,,,na kingine mwanamke muhimu kujipenda jamani,, katika kila hali pia inaleta raha sana katika mahusiano na mpenzi wako,,kuna wale wanaoingia katika ndoa na kujisahau mwanzoni kabla hajaolewa alikuwa anajiremba na kupendeza akishaolewa basi anajisahau,na kujiachia tuwe makini jamani mwanaume anaweza pia kutoka nje kutokana na kuona ndani mwanamke hana mvuto tena na huko nje wanawake wanapendeza wanajipenda basi ndio anaenda hukohuko,,,,tupo pamoja jamani..........

Post a Comment

Previous Post Next Post