mtazame
mrembo huyu Britney spears,,,for sure this pic inamvuto sana and i
think hakuna mtu asiyependa kuwa na mvuto muhimu ni kujipenda na sio
kujibweteka ili kuongeza chachu katika mapenzi ........
wanawake
walio wengi wanapenda kupendeza na kuvutia,,wengine wanafanya hivyo
kutokana na kupenda mwenyewe,lakini wengine wanafanya hivyo kwasababu
fulani,,kuna mwingine atapenda kupendeza ili mume au mpenzi wake
afurahi,ila muhimu ukawa unapenda kwanza wewe mwenyewe vinginevyo siku
nyingine unaweza ukachemka kutokana na kwamba ni kitu ambacho haukipendi
kutoka moyoni,,,na kingine mwanamke muhimu kujipenda jamani,, katika
kila hali pia inaleta raha sana katika mahusiano na mpenzi wako,,kuna
wale wanaoingia katika ndoa na kujisahau mwanzoni kabla hajaolewa
alikuwa anajiremba na kupendeza akishaolewa basi anajisahau,na kujiachia
tuwe makini jamani mwanaume anaweza pia kutoka nje kutokana na kuona
ndani mwanamke hana mvuto tena na huko nje wanawake wanapendeza
wanajipenda basi ndio anaenda hukohuko,,,,tupo pamoja
jamani..........
Post a Comment