Mchezo wa Kirafiki Zanzibar Heroes Zanzibar All Stars.

Mchezaji wa Zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Taifa Stars Shaban Ramadhani mwenye fulana nyeupe akifuatilia mchezo wa kirafi wa timu ya taifa ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan. ukiwa ni mchezo wa kujipima nguvu timu hiyo inayotarajia kushiri michezo ya kombe la Chalenji Nchini Uganda,wiki ijayo.  
Picha ya juu na chini ni mashabiki wa michezo Zanzibat wakifuatilia mchezo wa kirafiki wa timu ya Zanzibar 

Mchezaji wa timu ya Zanzibar All Stars akimpita beki wa timu ya Zanzibar Heroes, katika mchezo wa kirafiki wa kujipima nguma uliofanyika uwanja wa amaan timu ya Heroes imeshinda 3--O j

Post a Comment

Previous Post Next Post