Dr Erasto Sylvanus (kushoto) akimpima mtoto waliofika katika viwanja
vya Hindu Mandal mjini Moshi kupata tiba, kwenye kambi ya afya
inayoendeshwa na Chama Cha Madaktari Tanzania na mabalozi wa Afya kwa
udhamini wa Vodacom Foundation.
Dr Yakubu Sanga (kushoto) akimhudumia msanii maarufu wa televisheni
Bi. Kiroboto alipofika katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi
kupata tiba, kwenye kambi ya afya inayoendeshwa na Chama Cha Madaktari
Tanzania na mabalozi wa Afya kwa udhamini wa Vodacom Foundation.
Sehemu ya madaktari wa Chama Cha Madaktari Tanzania - MAT
wakiwahudumia wangonjwa waliofika katika viwanja vya Hindu Mandal mjini
Moshi kupata tiba, kwenye kambi ya afya inayoendeshwa na Chama Cha
Madaktari Tanzania na mabalozi wa Afya kwa udhamini wa Vodacom
Foundation.
.Dr Elibariki Kalua (kulia) akimpima sukari mama Felister Raymond
alipofika katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi kupata tiba,
kwenye kambi ya afya inayoendeshwa na Chama Cha Madaktari Tanzania na
mabalozi wa Afya kwa udhamini wa Vodacom Foundation.
Dr Nazeem Shabir (kushoto) akimpima Mkuu wa kitengo cha Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule katika viwanja vya Hindu Mandal mjini Moshi kupata tiba, kwenye kambi ya afya inayoendeshwa na Chama Cha Madaktari Tanzania na mabalozi wa Afya kwa udhamini wa Vodacom Foundation.
Post a Comment