Msanii maarufu wa filamu Afirica magharibi anayefahamika kwa jina la
Angela T****i Amejikuta katika wakati mgumu kutokana na picha zinazo
mwonyesha akiwa uchi kusambaa kwenye mitandao,katika mahojiano na
waandishi wa habari msanii huyo alijitetea na kudai kuwa Boyfriend wake
aliyekuwa akimpiga picha kwa kutumia simu ndiye aliyevujisha picha hizo.
Alisema: "It was my boyfriend who took those pictures. And we were
actually playing with them as lovers. He even said jokingly that we
should delete them before a mistake happens and they reach the media and
lo and behold, here we are in this embarrassment".
Post a Comment