Nahodha wa Azam, Jabir
Aziz Stima akiwa na Kombe la Hisani la FECOFA, Shirikisho la Soka la Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ndjili, Kinshasa,
baada ya kukabidhiwa, kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Dragons juzi
Uwanja wa Martyrs mjini hapa. Azam FC ianaondoka leo saa 5:00 za hapa, sawa na
saa 7:00 mchana za Afrika Mashariki, kurejea nyumbani Tanzania kwa furaha baada
ya kutwaa taji hilo.
|
Wachezaji na mwali wao Uwanja wa Ndege |
Wachezaji na mwali |
Uhuru Suleiman na beki la shughuli, David Mwantika |
Mfungaji bora wa mashindano Gaudence Mwaikimba |
Daktari Paulo Gomez |
Kocha Kali Ongala |
Kipre Balou |
Kipre Tchetche |
Post a Comment