AZAM NA MWALI WAO UWANJA WA NDEGE WA NDJILI

Nahodha wa Azam, Jabir Aziz Stima akiwa na Kombe la Hisani la FECOFA, Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ndjili, Kinshasa, baada ya kukabidhiwa, kufuatia ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Dragons juzi Uwanja wa Martyrs mjini hapa. Azam FC ianaondoka leo saa 5:00 za hapa, sawa na saa 7:00 mchana za Afrika Mashariki, kurejea nyumbani Tanzania kwa furaha baada ya kutwaa taji hilo.
Picha Na:- Bin Zubeiry


Wachezaji na mwali wao Uwanja wa Ndege

Wachezaji na mwali

Uhuru Suleiman na beki la shughuli, David Mwantika
Mfungaji bora wa mashindano Gaudence Mwaikimba
Daktari Paulo Gomez
Kocha Kali Ongala
Kipre Balou
Kipre Tchetche 

Post a Comment

Previous Post Next Post