HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA TAIFA SRAZ ILIPOICHAPA SOMALIA GOLI 7 - 0 (ANGALIA PICHA)

Kikosi cha Bara, Kilimanjaro Stars kilichofuzu kuingia Robo Fainali ya michuano ya CECAFA Tusker Challenge, baada ya kuilaza Burundi mabao 7-0 katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda leo.



Ngassa baada ya kufunga la kwanza



Salum Abubakar akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Somalia



Bocco akipiga kichwa mpira kwenye lango la Somalia



Kapombe akifanya kazi yake



Ngassa akimiliki  mpira mbele ya beki wa Somalia



Kipa wa Somalia akiokoa moja ya hatari langoni mwake



Kocha Poulsen



Wachezaji wa aStars Mwinyi Kazimoto kulia na Amir Maftah wakiwa na rafiki yao jukwaani



Amri Kiemba akimpongeza Ngassa kufunga 



John Bocco akimburuza Msomali



Bocco akifanya vitu, angalia miguu



Bocco anapongezwa na wenzake baada ya kufunga



Bocco anamuacha mtu



Amri Kiemba kulia



Bocco mawindoni



Yondan anaokoa

Post a Comment

Previous Post Next Post