Maoni
ya wengi husaidia kubadilisha mawazo hata ya moyo uliokuwa mgumu
kulainika, naheshimu mchango wa mawazo yenu kwani mmechukua muda wenu
kuchangia swala la Mwinyigoha....Kumsamehe tulishamsamehe mimi na
uongozi mzima wa MACHOZI BAND . Ndio maana hatukuwahi kuongelea chochote kilichotokea kwa upole au kwa jazba kwenye Media yoyote, ila swala la yeye kurudi au kutorudi kundini mtaliona ndani y
a DIARY YA LADY JAYDEE
Ambapo wanamuziki wenzake waliobaki Machozi Band baada ya yeye kuondoka wanaliongelea vipi??, na yeye mwenyewe amejielezea vipi? Usikose kuangalia DIARY YA LADY JAYDEE ndani ya EATV PEKEE, Uso kwa uso na mama mzazi wa Mwinyi, Captain G pamoja na JIDE.......Sijakosea kuweka hii topic hapa, wanaoijua story toka mwanzo hawatanilaumu kwanini nime post...
Mbarikiwe kwa kuwa pamoja na mimi katika kila jambo....
Ambapo wanamuziki wenzake waliobaki Machozi Band baada ya yeye kuondoka wanaliongelea vipi??, na yeye mwenyewe amejielezea vipi? Usikose kuangalia DIARY YA LADY JAYDEE ndani ya EATV PEKEE, Uso kwa uso na mama mzazi wa Mwinyi, Captain G pamoja na JIDE.......Sijakosea kuweka hii topic hapa, wanaoijua story toka mwanzo hawatanilaumu kwanini nime post...
Mbarikiwe kwa kuwa pamoja na mimi katika kila jambo....
- You and 145 others like this.
- 52 of 58
- Michael Ochieng Lady jdee mawaitha kama yangu usipuuze ni ya manu faaa sana47 minutes ago via mobile · Like
- Bacary Khalleedy Safi sana46 minutes ago via mobile · Like
- Charlz Wa Eliau Kama tunakuona vile! Ubarikiwe na wewe na kazi zako na familia yk
- Michael Ochieng niko ndani ya show46 minutes ago via mobile · Like
- 46 minutes ago via mobile · Like
- Ibra Allen Bora yule ajuaye kusamehe,kwani hata naye atasamehewa..big up@Ladyjide46 minutes ago via mobile · Like
- Japhet Mwambete Tenda wema nenda zako,hukumu 2mwachie mungu 2 pekee@jide45 minutes ago via mobile · Like
- Ramadhan Said pamoja sana jide.45 minutes ago via mobile · Like
- Douglas Arteta Upo juu 2 xana kama kawaida.be bkezed too.
- Janeth Albart ulichoamua ni kizur mamy kila la kheri.44 minutes ago via mobile · Like
- Ben Shikuku Kweli dada ben ktk nairobi kenya karibu sana44 minutes ago via mobile · Like
- Saigone Augustine Fanani SAFI XANA BINT MACHOZI, KOMANDO, SOMEFOOD, JDE....2gether as one mashabiki wako..na Mungu pamoja nasi wote.43 minutes ago via mobile · Like
- Oduor William Jambo la maana hilo mlilolifanya kumsamehe kaka mwinyigoha kwani hakuna binadamu mkamilifu. Big up.42 minutes ago via mobile · Edited · Like
- Hemed Mollel Tuliamua kukupa ushauri mzuri kwa kuwa wewe ni mwenye busara na ungependa utende haki na naamini utafanikiwa zaidi.42 minutes ago via mobile · Like
- Edom Mwanjunga Wewe lady j dee ni mdada mwenye moyo ambao kila mwanamke wa ktanzania anapaswa kuwa nao,MUNGU AKUBARIKI WEWE NA KAZI YA MIKONO YAKO!41 minutes ago via mobile · Like
- Borries Wanga Mungu akubariki dada40 minutes ago via mobile · Like
- Borries Wanga Mungu akubariki dada40 minutes ago via mobile · Like
- Martha Shaban Jambo kma hlo linatakiwa kuxamehe na kuwa naupendo big it up dada uwamuzi wa buxara wewe xonga mbele. Mtemgemee Mwenyezi Mungu kwa kila jambo40 minutes ago via mobile · Like
- Mike Makassy Sawa ila mpoto kasema kuanza upya si ujinga!kuna wasanii wengi wanajua kuimba copy kushinda hata mwinyi!teletee ladha mpya!ni bora angerudi jonico40 minutes ago via mobile · Like
- Salome Mwanzalilah Poa tunasubiri hiyo j.pili tuone komandoo wangu40 minutes ago via mobile · Like
- Athuman Ndaro Nawe ubarikiwe Commando38 minutes ago via mobile · Like
- Evetha Valerian Ndo mana nakupendaga......!38 minutes ago via mobile · Like
- Goldengirl Gulamali Upo juu ma frnd!37 minutes ago via mobile · Like
- David Eliezer Poa.
- Mgeni Kiboga Chelsea Unabusara sana36 minutes ago via mobile · Like
- Hubert Mutta All d best kwa yote...35 minutes ago via mobile · Like
- Saada Issa We mkari ndio mana bint komando!34 minutes ago via mobile · Like
- Wincate Mukami M Heri wasanii wakenya wangukua kama wewe dada yangu.big up...32 minutes ago via mobile · Like
- Herbert Mpoto Nyc...32 minutes ago via mobile · Like
- Zuhura Shaban u gud
mummy
may God b
wth u
darlin32 minutes ago via mobile · Like - Zuhura Shaban sometimes we 4give
and 4get
dat is how
lyf it z...
hakuna mkamirifu its only God
who
can judge
congrats
mumy29 minutes ago via mobile · Edited · Like - Clara Samgabo Sina neno30 minutes ago via mobile · Like
- Letty Chagama Mungu akuongoze ktk yote
- Sururu Mtawango Mpaka hapo ulipofikia unaonesha ni jinsi gani ulivyo na busara,Jaydee wewe ni mfano wa kuigwa kwa wote wapenda maendeleo27 minutes ago via mobile · Like · 2
- Hussein Kandoro U hv judge it correctly as aliikosea band nzima na c ww
- Genoveva Peter blessings
- Karim Hamza Shabani Kila cku mimi husema kua tz hakuna msanii wakike anaekuzidi wewe awemuimbaji wa dini au band you still kiongozi wao kwakawaida lazima watakuepo wasiopenda mafanikio yako ila asikudanyanye mtu ukichukiwa sanaa ndio pia unavyopendwa sanaa wakubali wakatae wewe mama lao kwenye muziki huu #waswaili wanasema mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe hongera kwakumsamehe huyo kijana kwani hakujua kwamba anae kudanganya ndio anaekukataa big up @jaydee
- Zaharia Salim Ww ni mkali, mungu anakupa coz anajua unamoyo wa kusaidia, kila la heri mungu azidi kubariki kazi yako... legend jaydee(mama somefood) bint machoz17 minutes ago via mobile · Edited · Like
- Ayubu Nnko Ahaa haa bwana, kuna wengine tumechangia tukiwa hatumo Tz na tunatamani kufahamu hatima ya mawazo yetu pia.....tutaipataje hiyo DIARY? Is EATV available online?
- Emanuel Alphiston 2ko pa1 mama jide
- Keneth Maketa 2nasubiri kwa hamu 2 mwone mama yake anani lakumwongelea mwanae 2po pamoja kama ww na captain G18 minutes ago via mobile · Like
- Richard Malago Wakati Mnamchukua Mlitushilikisha.?.Au Mbwembwe tu
- Julius Doreen we rich kuwa mstaarb,kama unaona haupo interestd y uckae kmya?15 minutes ago via mobile · Like · 1
- Ikengo Junior Maamuzi mema.go ahead mummy!
- Tamali George Yap! 2ko pamja
- Julius Doreen dada ondoa shaka usiache kumshrksha mungu ktk kila jambo,hata waswahl wanaxema PALIPO WENGI HAPAKOC.......,UBARIKIWE XANA DADA13 minutes ago via mobile · Like
- Melkiory Bony richard acha ujinga ujalazimishwa kucomment13 minutes ago via mobile · Like · 1
- Aviti Mushi Tunasubiri kwa hamu sana
- Joseph Nkondo Sahau na songa mbele ndiyo ukamanda huo10 minutes ago via mobile · Like
- Salome Kitomari Moyo usio na nafasi ya kuhifadhi mambo yaliyopita na ya kuumiza ni wenye ushindi,ukisamehe unajisikia mwepeesi sana.8 minutes ago via mobile · Like
- Laty Striker Force Poa mdada8 minutes ago via mobile · Like
- Lazaro Daudi Go ahead mamy J dee6 minutes ago via mobile · Like

















































Post a Comment