Msimamizi
Mkuu wa Uendeshaji wa Kampuni ya Max Malipo Bw, Ahmed Lusasi akionyesha
Mashine ya kielektroniki Mbele ya Waandishi wa Habari mara baada ya
Kuingia mkataba wa Kibiashara na Kampuni ya Zuku leo katika Hoteli ya
Blue Pearl jijini Dar es Salaam juu ya Kampuni yao kuingia mkataba wa
Kuuza Vocha za Zuku ambapo leo wameweza kusaini Mkataba
utakaowawezesha wateja wa Zuku kulipia Vifurushi vyao popote kupitia
mawakala wa Max Malipo.
Meneja
Mkazi wa Zuku Tanzania Bw, Fadhil Mwasyeba (katikati) akizungumza na
waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kuweka saini mkataba kati
ya Zuku na Max Malipo ambapo amesema kuwa wateja wa Zuku nchi nzima
watazifurahia huduma zao kwani Max Malipo wanatoa huduma zao nchi nzima
ambapo amesema kuwa wameamua kuchukua uamuzi wa kuwashirikisha Max
malipo kwani wanatambua ubora wa kazi zao.wakwanza kushoto meneja masoko
msaidizi Zuku Bi:Veneranda Raphael.mwisho kulia.Afisa mahusiano na
huduma kwa wateja Bi:Mwahamisi Hamisi.
Baadhi ya Waandishi waliokuwemo kwenye hafla hiyo
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE

Post a Comment