Burkina Faso, imemjumuisha
mcheza kiungo wa Marseille, Charles Kabore, katika kikosi cha wachezaji
wake wa kwanza katika mechi yao ya pili ya kundi C dhidi ya Ethiopia.
Kufikia sasa Tunisia inaongoza kwa bao moja kwa
bila bao amablo lilifungwa kunako dakika ya 34 kupitia kwa mchezaji
Alain Traore.Awali kocha wa Ethiopia, Sewnet Bishaw, amefanya mabadiliko kadhaa katika kikosi chake.
Kipa wake kwa kwanza Jemal Tassew, atakosa mechi ya leo baada ya kupewa kadi nyekundi wakati wa mechi yao na Zambia.
Kocha wa Burkina Faso, anasema wanaliheshimu sana kikosi cha Ethiopia, ambacho kimekuwa kikiimarika kila uchao.
Kocha wa Ethiopia Sewnet Bishaw, kwa upande wake, amesema memchi yao na Zambia, iliwapo uzoevu mkubwa hasa kutokana na sababu kuwa hawajawahi kucheza na timu hizo kwa zaidi ya miaka thelathini na moja.
Bishaw, amesema wachezaji wake wako katika hali nzuri na anatarajia matokeo mema katika mechi hiyo.
Ameongeza kusema kuwa nia yao kuwa ni kufuzu kwa raundi ijayo.
Post a Comment