BREAKING NEWS:: AJALI YA KUTISHA,WATOTO SABA(7) WAFARIKI DUNIA HAPO HAPO..

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba kuna Ajali iliyotokea jioni ya leo saa 11.Watoto saba,Dreva na mama mmoja wa kimasaai na watoto wake wote wamefariki dunia.Wanafunzi 7 waliofariki wakilikuwa wamepanda gari(lift) wakitokea shule Chalinze sekondari wakielekea maneo ya Mdaula.
Gari walilopata lift linanamba za usajili hizi T363 AZG ,Tutawaletea picha za jali hivi punde.

Post a Comment

Previous Post Next Post