BREAKING NEWZZZ! PADRI APIGWA RISASI HADI KUFA ASUBUHI HII HUKO ZANZIBAR


Taarifa zilipatika sasa hivi ni kuwa Paroko wa Kanisa la Katoliki Minara Mirefu Zanzibar, Evarist Mushi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi saa 1.00 asubuhi na kufariki kabla hajafika hospitali ya Minazi Mirefu. Paroko huyu amepigwa risasi akishuka katika gari lake wakati akienda kuendesha ibada ya saa 3.00 leo.
R .I.P

Post a Comment

Previous Post Next Post