Dolphin ndio kampuni iliyohusika kutengeneza karibu video za albam zote za Jahazi.
Mzee
Yussuf ameiambia Hisia kuwa lengo la kuhama kampuni ni kujaribu
kutafuta changamoto mpya lakini hana tatizo lolote na Dolphin.
“Tumefanya kazi vizuri na Dolphin na hajawahi kutuangusha, ila tunajaribu kuwapa wapenzi wetu vitu tofauti” alisema Mzee Yussuf.
Kwa hivi sasa Shark’s wanaendelea na uchukuaji wa video za albam mpya ya “Wasi wasi wako”.
Post a Comment