Rais Kikwete akamilisha usajili wa kitambulisho cha Taifa, akutana na Makamu wa Rais mstaafu wa Benki ya Dunia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akipigwa picha na kuchukuliwa alama vidole wakati alipokamilisha taratibu za kupatiwa Kitambulisho cha Taifa nyumbani kwake asubuhi ya leo, Ijumaa, Februari Mosi, 2013. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akitia saini Kitabulisho cha Taifa wakati alipokamilisha taratibu za kupatiwa Kitambulisho cha Taifa nyumbani kwake asubuhi ya leo, Ijumaa, Februari Mosi, 2013. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) Bwana Dickson E Maimu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  Makamu wa Rais Mstaafu wa Benki ya Dunia, Bwana Justin Yifu Lin,  leo, Ijumaa, Februari mosi, 2013 Ikulu, Dar es Salaam. Kulia  ni Balozi wa China katika Tanzania Mheshimiwa  Lu Youqing.(Picha na IKULU).

Post a Comment

Previous Post Next Post