Video:- Binti yatima, umri miaka 8, akielezea jinsi alivyokua akibakwa mara kwa mara na mchungaji


Binti yatima, umri miaka 8, akielezea kwa uchungu jinsi alivyokua akibakwa mara kwa mara na mchungaji ambaye ndiye mkuu wa kuangalia usalama wao. Madaktari wamesema sehemu za uzazi za mtoto huyo zimeharibika permanently

Post a Comment

Previous Post Next Post