Watu
wasiojulikana wamevamia makanisa matatu mkoani Kilimanjaro na kuvunja
milango, kuharibu mali mbalimbali zikiwemo kompyuta na samani za kanisa
na kuiba fedha.
Tukio
hilo limetokea katika jimbo la Kilimanjaro Mashariki, Dayosisi ya
Kaskazini, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT).
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mkuu wa jimbo hilo, Mchungaji Winford Mosha, alisema kuwa tukio hilo limetokea …read more
Source: IPPMedia
Source: IPPMedia
Post a Comment