WEMA SEPETU KUTOA MILIONI 13 KUMTOA KAJALA


Wema Sepetu amekimbilia Benki baada ya mahakama kutoa hukumu mapema leo hii juu ya kesi ya Kajala na hukumu yake kutajwa kwenda jela miaka 5 au kulipa faini ya Milioni 13. Wema amejitolea kuamua kumsaidia Kajala ili aweze kutoka. Habari zaidi utazidi kuzipata hapa kama atafanikiwa kutoa pesa na kulipa leo leo.

Post a Comment

Previous Post Next Post