Baby Madaha awashukia wasanii wa kike kuhusu wanaume wadogo au “vijibwa”

baby-madaha-c
MSANII wa nyimbo za muziki wa bongo fleva anayefahamika kwa jina la Baby Madaha amewashukia baadhi ya wasanii wa kike nchini wanaojihusisha na maswala ya ngono na wanaume wenye umri mdogo maarufu kwa jina la ‘Kijibwa’ kuwa ni hali ya kukata tamaa na ushamba ndio unaochangia kufanya kitendo hiko
Akizungumza jijini Dar es Salaam Msanii huyo alisema kuwa anashangazwa na baadhi ya wasanii hususani wa kike kujihusisha na maswala ya ngono na wavulana wenye umri mdogo huku wakitumia jina la ‘kijibwa’ kwa ajili ya kukidhi matakwa yao ya..read more
Source: Pro-24

Post a Comment

Previous Post Next Post