Photo:Hii Ndio Style Mpya ya Kuiba Vitu Super Market

Hii Kali..Wanawake hawa wawili walikamatwa kwenye Super Market Moja nchini Kenya wakiwa wameficha Madumu ya Mafuta ya kupikia katikati ya Mapaja yao, inasemekana hii ndio staili mpya ya kuiba vitu Super Market...Ila hawa ilikula kwao baada ya kuonekana kwenye CCTV wakiweka mafuta hayo kwenye mapaja...na baada walinzi kuwasimamisha kwa ukaguzi..AIBU TOSHA ..LOOO

Post a Comment

Previous Post Next Post