Picha za Ajali ya Ndege ya Marehemu Wakili Nyaga Mawalla iliyotokea Jana na Kuua Rubani Wake




 Taarifa zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani pekee anayejulikana kwa jina Babu Sambeke, au maarufu kama Bob Sambeke aliyekuwa anatokea West Kilimanjaro.

Maelezo zaidi kuhusu ajali hiyo ni kwamba ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya masaa ya kawaida ya kufunga kiwanja(saa 12.30jioni) kupita.


Post a Comment

Previous Post Next Post